Watumishi wa Veta Pwani wasimamishwa kazi kwa kushindwa kusimamia ujenzi wa Chuo cha Veta mkoani humu

Na Barnabas Kisengi, Rufiji Januari 14 2021 WATUMISHI wawili wa Chuo chaVeta Pwani na kamati ya Manunuzi na ugavi yenye watu saba wamesimamishwa kazi mara baada ya kushindwa kusimamia vyema ujenzi wa Chuo cha Rufiji mkoani Pwani na kusababisha mradi kutokamilika kwa wakati. Uamuzi huo ulitolewa na  Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhandisi Omary