Na Barnabas Kisengi, Rufiji Januari 14 2021 WATUMISHI wawili wa Chuo chaVeta Pwani na kamati ya Manunuzi na ugavi yenye watu saba wamesimamishwa kazi mara baada ya kushindwa kusimamia vyema ujenzi wa Chuo cha Rufiji mkoani Pwani na kusababisha mradi kutokamilika kwa wakati. Uamuzi huo ulitolewa na Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhandisi Omary
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed